Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 8:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini, aking'olewa mahali pake, Ndipo patamkana, na kusema, Mimi sikukuona.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini akiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini akiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini akiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Unapong’olewa kutoka mahali pake, ndipo mahali pale huukana na kusema, ‘Mimi kamwe sikukuona.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Unapong’olewa kutoka mahali pake, ndipo mahali pale huukana na kusema, ‘Mimi kamwe sikukuona.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini, aking'olewa mahali pake, Ndipo patamkana, na kusema, Mimi sikukuona.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 8:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?


Jicho lililomwona halitamwona tena; Wala mahali pake hapatamtazama tena.


Hatarudi tena nyumbani kwake, Wala mahali pake hapatamjua tena.


Jicho lake huyo anionaye halitaniangalia tena; Macho yako yatanielekea, lakini sitakuwapo.


Mizizi yake huzongazonga chuguu, Huangalia mahali penye mawe.


Maana upepo hupita juu yake, na kutoweka! Lisionekane mahali lilipokuwa tena.


Maana bado kitambo kidogo asiye haki hatakuwapo, Utapaangalia mahali pake wala hatakuwapo.


Nikapita na kumbe! Hayuko, Nikamtafuta wala hakuonekana.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;