Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 8:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye huwa mti mbichi mbele ya jua, Nayo machipukizi yake huenea katika bustani yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jua litokapo yeye hustawi; hueneza matawi yake bustanini mwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua, ukieneza machipukizi yake bustanini;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua, ukieneza machipukizi yake bustanini;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye huwa mti mbichi mbele ya jua, Nayo machipukizi yake huenea katika bustani yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 8:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.


Mizizi yake huzongazonga chuguu, Huangalia mahali penye mawe.


Nao uliyaeneza matawi yake hadi baharini, Na vichipukizi vyake hadi kunako Mto.


BWANA alikuita jina lako, Mzeituni wenye majani mabichi, mzuri, wenye matunda mema; kwa kelele za mshindo mkuu amewasha moto juu yake, na matawi yake yamevunjika.