Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 8:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo Bildadi huyo Mshuhi akajibu, na kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo Bildadi, Mshuhi, akamjibu Yobu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo Bildadi, Mshuhi, akamjibu Yobu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo Bildadi, Mshuhi, akamjibu Yobu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Bildadi Mshuhi akajibu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Bildadi Mshuhi akajibu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Bildadi huyo Mshuhi akajibu, na kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 8:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,


Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?