Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 7:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, Ndivyo alivyo huyo ashukaye kuzimuni, hatazuka tena kabisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama wingu lififiavyo na kutoweka ndivyo nao watu washukavyo kuzimu bila kurudi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama wingu lififiavyo na kutoweka ndivyo nao watu washukavyo kuzimu bila kurudi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama wingu lififiavyo na kutoweka ndivyo nao watu washukavyo kuzimu bila kurudi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, Ndivyo alivyo huyo ashukaye kuzimuni, hatazuka tena kabisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 7:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa amekufa nifungie nini? Je! Naweza kumrudisha tena? Mimi nitakwenda kwake lakini yeye hatanirudia mimi.


Kwa kuwa hatuna budi kufa, nasi tu kama maji yaliyomwagika chini, yasiyoweza kuzoleka tena; wala Mungu haondoi maisha ila hufikiri shauri, kwamba yeye aliyefukuzwa asiwe mkimbizi kwake.


Kabla sijaenda huko ambako sitarudi kutoka huko tena, Ni hiyo nchi ya giza, giza tupu;


Ni juu mno kama mbingu; waweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kuliko kuzimuni; waweza kujua nini wewe?


Kwani ikiisha pita miaka michache, Nitakwenda njia hiyo ambayo sitarudi tena.


Nikitazamia kuzimu kuwa nyumba yangu; Nikitandika malazi yangu gizani;


Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu, Itakapokuwapo raha mavumbini.


Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;


Vitisho vimenigeukia; Huifukuza heshima yangu kama upepo; Na kufanikiwa kwangu kumepita kama wingu.


Naam, huyatwika mawingu mazito mzigo wa maji; Hulitandika wingu la umeme wake;


Uache kunitazama, ndio nipate kufurahi tena, Kabla sijafa na kutoweka kabisa.


Wao wamekufa, hawataishi; wamekwisha kufariki, hawatafufuka; kwa sababu hiyo umewajia, na kuwaangamiza, na kuupoteza ukumbusho wao.


Nilisema, Sitamwona BWANA, yeye BWANA, katika nchi ya walio hai; Sitamwona mwanadamu tena pamoja na hao wakaao duniani.