Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 7:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Jicho lake huyo anionaye halitaniangalia tena; Macho yako yatanielekea, lakini sitakuwapo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayeniona sasa, hataniona tena, punde tu ukinitazama nitakuwa nimetoweka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayeniona sasa, hataniona tena, punde tu ukinitazama nitakuwa nimetoweka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayeniona sasa, hataniona tena, punde tu ukinitazama nitakuwa nimetoweka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena; utanitafuta, wala sitakuwepo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena; utanitafuta, wala sitakuwepo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jicho lake huyo anionaye halitaniangalia tena; Macho yako yatanielekea, lakini sitakuwapo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 7:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa amekufa nifungie nini? Je! Naweza kumrudisha tena? Mimi nitakwenda kwake lakini yeye hatanirudia mimi.


Waitia miguu yangu katika mkatale, na kuyakagua mapito yangu yote; Wajiandikia alama kuzizunguka nyayo za miguu yangu;


Lakini mwanadamu hufa, hufariki dunia; Naam, mwanadamu hukata roho, naye yupo wapi?


Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye, Na kunitia katika hukumu pamoja nawe?


Ataruka mfano wa ndoto, asionekane; Naam, atafukuzwa kama maono ya usiku,


Jicho lililomwona halitamwona tena; Wala mahali pake hapatamtazama tena.


Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.


Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;


Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


Lakini, aking'olewa mahali pake, Ndipo patamkana, na kusema, Mimi sikukuona.


Maana upepo hupita juu yake, na kutoweka! Lisionekane mahali lilipokuwa tena.


Nikapita na kumbe! Hayuko, Nikamtafuta wala hakuonekana.


Ukimrudi mtu kwa kumkemea kwa uovu wake, Watowesha uzuri wake kama nondo. Kila mwanadamu ni ubatili.