Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 7:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kumbuka ya kwamba maisha yangu ni upepo; Jicho langu halitaona mema tena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kumbuka, maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona jema lolote tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kumbuka, maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona jema lolote tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kumbuka, maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona jema lolote tena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi; macho yangu kamwe hayataona tena raha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi; macho yangu kamwe hayataona tena raha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kumbuka ya kwamba maisha yangu ni upepo; Jicho langu halitaona mema tena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 7:7
16 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo baba yao akawaambia, Mmeniondolea watoto wangu; Yusufu hayuko, wala Simeoni hayuko, na Benyamini mnataka kumchukua naye; mambo hayo yote yamenipata mimi.


Nakuomba, likumbuke neno lile ulilomwamuru Musa, mtumishi wako, ukisema, Mkikosa, nitawatawanya kati ya mataifa;


Je! Siku zangu si chache? Acha basi, Usinisumbue, nipate angaa kutulizwa moyo kidogo.


Kumbuka, nakusihi ulivyonifinyanga kama vile udongo; Nawe, je! Utanirudisha uvumbini tena?


Ninadhoofika; sitaishi sikuzote; Usinisumbue, kwani siku zangu ni uvuvio.


Basi siku zangu zina mbio kuliko tarishi; Zakimbia, wala hazioni mema.


Kweli, watu wote hupita kama kivuli; Wao hujisumbua bure tu; Wanajirundikia mali wala hawajui ni nani atakayeirithi.


Wengi husema, Nani atakayetuonesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako.


Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu, Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako.


Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe, Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.


Akakumbuka ya kuwa wao ni kiwiliwili, Upepo upitao wala haurudi.


Ukumbuke jinsi mimi nisivyo wa kudumu; Kwa ubatili gani umeiumba jamii ya wanadamu!


Ukumbuke, Ee Bwana, Wanavyosimangwa watumishi wako; Jinsi ninavyostahimili kifuani mwangu Masimango ya watu wengi.


Ee BWANA, unajua wewe; unikumbuke, unijie, ukanilipizie kisasi juu yao wanaoniudhi; usiniondoe kwa uvumilivu wako; ujue ya kuwa ni kwa ajili yako nilivyopatikana na matukano.


lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.