Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitanena kwa mateso ya roho yangu; Nitalia kwa uchungu wa nafsi yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kuongea; nitasema kwa msongo wa roho yangu, nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kuongea; nitasema kwa msongo wa roho yangu, nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kuongea; nitasema kwa msongo wa roho yangu, nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kwa hiyo sitanyamaza; nitanena kutokana na maumivu makuu ya roho yangu, nitalalama kwa uchungu wa nafsi yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kwa hiyo sitanyamaza; nitanena kutokana na maumivu makuu ya roho yangu, nitalalama kwa uchungu wa nafsi yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitanena kwa mateso ya roho yangu; Nitalia kwa uchungu wa nafsi yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 7:11
20 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaambiana, Kweli sisi tulimkosea ndugu yetu, kwa kuwa tuliona shida ya roho yake, alipotusihi, wala hatukusikia, kwa hiyo shida hii imetupata.


Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Mimi nikiwa mwovu, ole wangu! Nami nikiwa mwenye haki, walakini sitainua kichwa changu; Maana nimejaa aibu Nikiyaangalia mateso yangu.


Nyamazeni, niacheni, ili nipate kunena, Na hayo yatakayonijia na yaje.


Nijapokuwa nanena, huzuni yangu haitulizwi; Nijapokuwa najizuia, nimepunguziwa kitu gani?


Mwingine hufa katika uchungu wa roho, Asionje mema kamwe.


Hata leo malalamiko yangu yana uchungu; Pigo langu ni zito zaidi ya kuugua kwangu.


Jitunze, usiutazame uovu; Kwani umeuchagua huo zaidi ya taabu.


Je! Mwafikiri kuyakemea maneno? Maana maneno ya huyo aliyekata tamaa ni kama upepo.


Nikisema, Mimi nitasahau kuugua kwangu, Nitaacha kununa uso nikachangamke moyo;


Moyo wangu ukawa moto ndani yangu, Na katika kuwaza kwangu moto ukawaka; Nilisema kwa ulimi wangu,


Nimehubiri habari za haki katika kusanyiko kubwa. Sikuizuia midomo yangu; Ee BWANA, unajua.


Niseme nini? Yeye amenena nami, na yeye mwenyewe ametenda hayo; Nitakwenda polepole miaka yangu yote, kwa sababu ya uchungu wa nafsi yangu.


Tazama; nilikuwa na uchungu mwingi kwa ajili ya amani yangu; Lakini kwa kunipenda umeniokoa kutoka kwa shimo la uharibifu; Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma yako.


Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; jasho yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]


Maana katika dhiki nyingi na taabu ya moyo niliwaandikia nikiwa na machozi mengi; si kwamba mhuzunishwe, bali mpate kujua upendo wangu nilio nao kwenu jinsi ulivyo mwingi.


Naye huyo mwanamke alikuwa na uchungu rohoni mwake, akamwomba BWANA akalia sana.