Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 6:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Laiti ningepewa haja yangu, Naye Mungu angenipa neno hilo ninalolitamani sana!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Laiti ningejaliwa ombi langu, Mungu akanipatia kile ninachotamani:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Laiti ningejaliwa ombi langu, Mungu akanipatia kile ninachotamani:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Laiti ningejaliwa ombi langu, Mungu akanipatia kile ninachotamani:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Laiti ningepewa haja yangu, Naye Mungu angenipa neno hilo ninalolitamani sana!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 6:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye mwenyewe akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. Akajiombea roho yake afe, akasema, Yatosha; sasa, Ee BWANA, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu.


Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Ambao wangojea mauti, lakini hawayapati; Na kuyachimbulia kuliko watafutavyo hazina iliyostirika;


Ambao wafurahi mno, Na kushangilia watakapoliona kaburi?


Roho yangu inakataa hata kuvigusa; Kwangu mimi ni kama chakula kichukizacho.


Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!


Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako.


Basi, sasa, Ee BWANA, nakuomba, uniondolee uhai wangu; maana ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.