Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 6:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Huyo punda mwitu hulia akiwa na majani? Au, ng'ombe hulia akiwa malishoni?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, pundamwitu hulia akiwa na majani, au ng'ombe akiwa na malisho?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, pundamwitu hulia akiwa na majani, au ng'ombe akiwa na malisho?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, pundamwitu hulia akiwa na majani, au ng'ombe akiwa na malisho?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au fahali hulia akiwa na chakula?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au ng’ombe dume hulia akiwa na chakula?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Huyo punda mwitu hulia akiwa na majani? Au, ng'ombe hulia akiwa malishoni?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 6:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.


Ni nani aliyemwacha pundamilia aende huru? Au je! Ni nani aliyemfungulia vifungo punda mwitu?


Upana wa milima ni malisho yake, Hutafutatafuta kila kitu kilicho kibichi.


Je! Kitu kisicho na ladha chaweza kulika bila chumvi? Au je, uto wa yai una tamu iwayo yote?


Huyameesha majani kwa makundi, Na maboga kwa matumizi ya mwanadamu; Ili atoe chakula katika nchi,


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Na punda mwitu husimama juu ya vilele vya milima, Hutwetea pumzi kama mbwamwitu; Macho yao hayaoni sawasawa, Kwa kuwa hapana majani.