Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 6:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Jinsi yafaavyo maneno ya uelekevu! Lakini shutuma zenu, je! Zimeonya nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya kweli yana nguvu kubwa! Lakini makaripio yenu yananikosoa nini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya kweli yana nguvu kubwa! Lakini makaripio yenu yananikosoa nini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya kweli yana nguvu kubwa! Lakini makaripio yenu yananikosoa nini?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jinsi yafaavyo maneno ya uelekevu! Lakini shutuma zenu, je! Zimeonya nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 6:25
15 Marejeleo ya Msalaba  

Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu.


Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.


Na kama sivyo sasa, ni nani atakayenihukumu mimi kuwa ni mwongo, Na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?


Tazama, ninyi nyote mmeyaona wenyewe; Mbona basi mmebatilika kabisa?


Tena hasira zake ziliwaka juu ya hao rafiki zake watatu kwa sababu hawakupata jawabu, lakini wamemhukumia Ayubu makosa.


Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka, Nawe umeyaimarisha magoti manyonge.


Nifunzeni, nami nitanyamaa kimya; Mkanijulishe ni jambo gani nililokosa.


Je! Mwafikiri kuyakemea maneno? Maana maneno ya huyo aliyekata tamaa ni kama upepo.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.