Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 6:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nifunzeni, nami nitanyamaa kimya; Mkanijulishe ni jambo gani nililokosa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nifundisheni, nami nitanyamaza. Nielewesheni jinsi nilivyokosea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nifundisheni, nami nitanyamaza. Nielewesheni jinsi nilivyokosea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nifundisheni, nami nitanyamaza. Nielewesheni jinsi nilivyokosea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Nifundisheni, nami nitakaa kimya; nionesheni nilikokosea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya; nionyesheni nilikokosea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nifunzeni, nami nitanyamaza kimya; Mkanijulishe ni jambo gani nililokosa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 6:24
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nitamwambia Mungu, Usinihukumie makosa; Nijulishe kwa nini unapingana nami.


Maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.


Tazama, niliyangojea maneno yenu, Nilizisikiliza nisikie hoja zenu, Hapo mlipokitafuta mtakalonena.


Lakini, Ayubu, nakuomba usikilize hoja yangu, Ukayasikilize maneno yangu yote.


Nisiyoyaona nifundishe wewe; Kama nimefanya uovu sitafanya tena?


Tazama, haya tumeyapeleleza, ndivyo yalivyo; Yasikie, uyajue, ili upate mema.


Au, Niokoeni na mkono wa adui? Au, Nikomboeni na mikono ya hao waoneao?


Jinsi yafaavyo maneno ya uelekevu! Lakini shutuma zenu, je! Zimeonya nini?


Ni nani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri.


Nitakufundisha na kukuonesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.


Kipuli cha dhahabu, na pambo la dhahabu safi; Ndivyo alivyo mwonyaji mwenye hekima kwa sikio lisikialo.


Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima; Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu;


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.