Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 6:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wameudhika kwa sababu walitumaini; Wakaja huku, nao walifadhaika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huchukizwa kwa kutumaini bure, hufika kwenye vijito hivyo na kuudhika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huchukizwa kwa kutumaini bure, hufika kwenye vijito hivyo na kuudhika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huchukizwa kwa kutumaini bure, hufika kwenye vijito hivyo na kuudhika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wameudhika kwa sababu walitumaini; Wakaja huku, nao walifadhaika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 6:20
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo, Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa.


Amewaweka ndugu zangu mbali nami, Na wanijuao wametengwa nami kabisa.


Kumtumaini asiye mwaminifu wakati wa taabu Ni kama jino lililovunjika, au mguu ulioteguka.


Mbona maumivu yangu ni ya daima, na jeraha langu halina dawa, linakataa kuponywa? Je! Yamkini wewe utakuwa kwangu kama kijito kidanganyacho, na kama maji yasiyodumu?


Ee BWANA, tumaini la Israeli, wote wakuachao watatahayarika. Wao watakaojitenga nami wataandikwa katika mchanga, kwa sababu wamemwacha BWANA, kisima cha maji yaliyo hai.


na tumaini halitahayarishi; kwa maana pendo la Mungu limekwisha kumiminwa katika mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi.


kama ilivyoandikwa, Tazama, naweka katika Sayuni jiwe likwazalo, na mwamba uangushao; Na kila amwaminiye hatatahayarika.