Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 6:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Misafara ya Tema huvitazama, Majeshi ya Sheba huvingojea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Misafara ya Tema hutafuta tafuta, wasafiri wa Sheba hutumaini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Misafara ya Tema hutafuta tafuta, wasafiri wa Sheba hutumaini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Misafara ya Tema hutafuta tafuta, wasafiri wa Sheba hutumaini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Misafara ya Tema huvitazama, Majeshi ya Sheba huvingojea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 6:19
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.


na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.


Yokshani akamzaa Sheba, na Dedani; na wana wa Dedani walikuwa Waashuri na Waletushi, na Waleumi.


Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani juu ya jina la BWANA, alikuja ili amjaribu kwa maswali ya fumbo.


mara Waseba wakawashambulia, wakawachukua wakaenda nao; naam, wamewaua hao watumishi kwa makali ya upanga, mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Misafara isafiriyo kwa njia yao hugeuka; Hukwea kwenda barani, na kupotea.


Wafalme wa Tarshishi na visiwa na walete kodi; Wafalme wa Sheba na Seba na watoe vipawa.


Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.


Dedani, na Tema, na Buzi, na watu wote wakatao denge;