Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Yobu akamjibu Elifazi:
Kisha Ayubu akajibu:
Ayubu akajibu, na kusema;
Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,
Tazama, haya tumeyapeleleza, ndivyo yalivyo; Yasikie, uyajue, ili upate mema.
Laiti uchungu wangu ungepimwa, Na msiba wangu kutiwa katika mizani pamoja!