Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

yeye atendaye makuu yasiyochunguzika, atendaye maajabu yasiyohesabika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

yeye atendaye makuu yasiyochunguzika, atendaye maajabu yasiyohesabika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

yeye atendaye makuu yasiyochunguzika, atendaye maajabu yasiyohesabika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa, miujiza isiyoweza kuhesabika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa, miujiza isiyoweza kuhesabika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:9
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kichwa changu kikijiinua, waniwinda kama simba; Tena wajionesha kwangu kuwa wa ajabu.


Tazama, jicho langu limeyaona hayo yote, Sikio langu limeyasikia na kuyaelewa.


Sikiliza neno hili, Ee Ayubu; Simama kimya, uzifikiri kazi za Mungu za ajabu.


Je! Wajua jinsi mawingu yalivyowekwa sawasawa, Hizo kazi za ajabu za huyo mkamilifu wa maarifa?


Mungu hunguruma kwa kustaajabisha kwa sauti yake; Hufanya mambo makuu, ambayo hatuwezi kuyaelewa.


Ni nani huyu afichaye ushauri bila maarifa? Kwa maana, nimesema maneno nisiyoyafahamu, Mambo ya ajabu ya kunishinda mimi, nisiyoyajua.


Atendaye mambo makuu yasiyochunguzika; Naam, mambo ya ajabu yasiyohesabika.


Kama ningeyahesabu ni mengi kuliko mchanga; Niamkapo ningali pamoja nawe.


BWANA ndiye mkuu mwenye kusifiwa sana, Wala ukuu wake hauchunguziki.


Ee BWANA, Mungu wangu, umefanya kwa wingi Miujiza yako na mawazo yako kwetu; Hakuna awezaye kufananishwa nawe; Kama ningependa kuyatangaza na kuyahubiri, Ni mengi sana hayahesabiki.


Dhabihu na matoleo hukupendezwa nazo, Umetuzidishia ila masikio, Kafara na sadaka za dhambi hukuzitaka.


Na ahimidiwe BWANA, Mungu, Mungu wa Israeli, Atendaye miujiza Yeye peke yake;


Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu, Wewe ndiwe mfanya miujiza, Ndiwe Mungu peke yako.


Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho.


Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!