Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwani taabu haitoki mchangani, Wala mashaka hayachipuki katika nchi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa kawaida mateso hayatoki mavumbini wala matatizo hayachipui udongoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa kawaida mateso hayatoki mavumbini wala matatizo hayachipui udongoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa kawaida mateso hayatoki mavumbini wala matatizo hayachipui udongoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana taabu haioti kutoka kwa udongo, wala ubaya hauchipui kutoka ardhini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo, wala udhia hauchipui kutoka ardhini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwani taabu haitoki mchangani, Wala mashaka hayachipuki katika nchi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wao hutunga mimba ya madhara, na kuzaa uovu, Na mioyo yao hutunga udanganyifu.


Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa;


Maana tumeangamia kwa hasira yako, Na kwa ghadhabu yako tumezidiwa.


Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni BWANA, niyatendaye hayo yote.


Je! Katika kinywa chake Aliye Juu Hayatoki maovu na mema?


Hunena maneno yasiyo na maana; huapa kwa uongo wafanyapo maagano; basi ndipo hukumu huchipuka kama mbaruti katika matuta ya shamba.


Hicho kimeacho chenyewe katika mavuno yako, usikivune, wala zabibu za mizabibu isiyopelewa usizitunde; utakuwa mwaka wa kustarehe kabisa kwa ajili ya hiyo nchi.


Je! Tarumbeta itapigwa mjini, watu wasiogope? Mji utapatikana na hali mbaya, asiyoileta BWANA?


Isipokuwa niliogopa makamio ya adui, Adui zao wasije wakafikiri uongo, Wasije wakasema, Mkono wetu umetukuka, Wala BWANA hakuyafanya haya yote.


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.


Kisha angalieni, likikwea kwa njia ya mpakani mwake kwenda Beth-shemeshi, basi, ndiye aliyetutenda uovu huo mkuu; la, sivyo, ndipo tutakapojua ya kwamba si mkono wake uliotupiga; ilikuwa ni bahati mbaya iliyotupata.