Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimepata kuona mpumbavu akifana, lakini ghafla nikayalaani makao yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimepata kuona mpumbavu akifana, lakini ghafla nikayalaani makao yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimepata kuona mpumbavu akifana, lakini ghafla nikayalaani makao yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mwasema, Yeye ni mwepesi juu ya uso wa gharika; Sehemu yao inalaaniwa duniani; Hageuki kwenda njia ya mizabibuni.


Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?


(Naam, sikukiacha kinywa changu kufanya dhambi Kwa kuutaka uhai wake kwa kuapiza);


Maana waliobarikiwa na BWANA watairithi nchi, Nao waliolaaniwa naye watakatiliwa mbali.


Makambi yao na yawe ukiwa, Pasiwe na mtu wa kukaa hemani mwao.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, Kikao chake na kiwe ukiwa, Wala asiwepo mtu mwenye kukaa humo; tena, Usimamizi wake autwae mwingine.