Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tazama, haya tumeyapeleleza, ndivyo yalivyo; Yasikie, uyajue, ili upate mema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi huu ndio utafiti wetu; tena ni ukweli; uusikie na kuuelewa kwa faida yako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi huu ndio utafiti wetu; tena ni ukweli; uusikie na kuuelewa kwa faida yako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi huu ndio utafiti wetu; tena ni ukweli; uusikie na kuuelewa kwa faida yako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Tumelichunguza hili, nalo ni kweli. Hivyo lisikie na ulitendee kazi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Tumelichunguza hili, nalo ni kweli. Hivyo lisikie na ulitendee kazi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazama, haya tumeyapeleleza, ndivyo yalivyo; Yasikie, uyajue, ili upate mema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:27
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hapana shaka ninyi ndinyi watu halisi, Nanyi mtakapokufa, ndipo na hekima itakoma.


Tazama, jicho langu limeyaona hayo yote, Sikio langu limeyasikia na kuyaelewa.


Mimi nitakuonesha, unisikilize; Na hayo yote niliyoyaona nitayanena;


Je! Yumkini mtu awaye yote kumfaa Mungu? Hakika yeye aliye na hekima hujifaa mwenyewe.


Utafika kaburini mwenye umri mtimilifu, Kama mganda wa ngano ulivyo wakati wake.


Ndipo Ayubu akajibu na kusema,


Matendo ya BWANA ni makuu, Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo.


Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.


kuzifuata amri za BWANA na sheria zake, ninazokuamuru leo, upate uheri?