Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe utajua ya kwamba hema yako ni salama; Na zizi lako utalikagua, wala usikose kitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utaona nyumbani mwako mna usalama; utakagua mifugo yako utaiona yote ipo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utaona nyumbani mwako mna usalama; utakagua mifugo yako utaiona yote ipo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utaona nyumbani mwako mna usalama; utakagua mifugo yako utaiona yote ipo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utajua kwamba hema lako li salama; utahesabu mali yako wala hutakuta chochote kilichopungua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utajua ya kwamba hema lako li salama; utahesabu mali zako wala hutakuta chochote kilichopungua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe utajua ya kwamba hema yako ni salama; Na zizi lako utalikagua, wala usikose kitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:24
15 Marejeleo ya Msalaba  

Katika hema yake hakuna kitakachobaki; Kiberiti kitamwagwa juu ya makazi yake.


Hakika ndivyo yalivyo makazi ya wapotovu, Na hapa ni mahali pake asiyemjua Mungu.


Mwanga hemani mwake utakuwa giza, Nayo taa iliyo juu yake itazimwa.


Ikiwa wewe u safi na mwelekevu; Hakika yeye sasa angeamka kwa ajili yako, Na kuyafanya makazi ya haki yako kufanikiwa.


Walitangatanga jangwani katika njia ya nyika; Hawakuona mji wa kukaa.


Aliwamwagia wakuu dharau, Na kuwazungusha katika nyika isiyo na njia.


Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yadumu milele.


Watafanikiwa maishani mwao; Na wazawa wao wataimiliki nchi.


Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.


Nenda, ukawakusanye wazee wa Israeli pamoja, ukawaambie, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenitokea, akaniambia, Hakika nimewajilieni, tena nimeyaona mnayotendewa huko Misri;


Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.


Basi Daudi na watu wake walipoufikia mji, tazama, ulikuwa umechomwa moto; na wake zao, na watoto wao, wanaume kwa wanawake, wamechukuliwa mateka.