Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Utafichwa na mapigo ya ulimi; Wala usiogope maangamizo yatakapokuja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utakingwa salama na mashambulio ya ulimi, wala hutaogopa maangamizi yajapo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utakingwa salama na mashambulio ya ulimi, wala hutaogopa maangamizi yajapo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utakingwa salama na mashambulio ya ulimi, wala hutaogopa maangamizi yajapo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi, wala hutakuwa na sababu ya kuogopa maangamizi yatakapokujia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi, wala hutakuwa na sababu ya kuogopa maangamizi yatakapokujia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utafichwa na mapigo ya ulimi; Wala usiogope maangamizo yatakapokuja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari.


Utawasitiri kutoka kwa fitina za watu Katika maficho ya kuwapo kwako; Utawaficha katika hema Na ushindani wa ndimi.


BWANA ahimidiwe; kwa maana amenitendea Fadhili za ajabu nilipozongwa kama mji wenye boma.


Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Usiogope hofu ya ghafla, Wala uharibifu wa waovu utakapofika.


Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwa, na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA.


Hapo ndipo waliposema, Njooni na tufanye mashauri juu ya Yeremia; maana sheria haitampotea kuhani, wala shauri halitampotea mwenye hekima, wala neno halitampotea nabii. Njooni, na tumpige kwa ndimi zetu, wala tusiyaangalie maneno yake yoyote.