Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakati wa njaa atakukomboa na mauti; Na vitani atakukomboa na nguvu za upanga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati wa njaa atakuokoa na kifo, katika mapigano makali atakuokoa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati wa njaa atakuokoa na kifo, katika mapigano makali atakuokoa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati wa njaa atakuokoa na kifo, katika mapigano makali atakuokoa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo, naye katika vita atakukomboa na pigo la upanga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo, naye katika vita atakukomboa na pigo la upanga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati wa njaa atakukomboa na mauti; Na vitani atakukomboa na nguvu za upanga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu alinituma mbele yenu kuwahifadhia mabaki katika nchi, na kuwaokoa ninyi kwa wokovu mkuu.


Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.


BWANA ameniadhibu sana, Lakini hakuniacha nife.


Awapaye wafalme wokovu, Amwokoa Daudi, mtumishi wake, na upanga wa uovu.


Jeshi lijapojipanga kupigana nami, Moyo wangu hautaogopa. Vita vijaponitokea, Hata hapo nitatumainia BWANA.


Ili kuwaponya nafsi zao kutoka kwa mauti, Na kuwahuisha wakati wa njaa.


Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba.


Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake, Wala kumlipa Mungu fidia kwa ajili ya maisha yake,


BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


Ndipo Sedekia mfalme akatoa amri, wakamtia Yeremia katika ukumbi wa walinzi; wakampa kila siku mkate mmoja uliotoka katika njia ya waokaji, hata mkate wote wa mji ulipokwisha. Basi Yeremia akakaa katika ukumbi wa walinzi.


Kwa maana ni yakini, nitakuokoa, wala hutaanguka kwa upanga, lakini nafsi yako itakuwa kama nyara kwako; kwa kuwa ulinitumaini mimi, asema BWANA.


Nitawakomboa kwa nguvu za kaburi; nitawaokoa kutoka kwa mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Huruma itafichika machoni mwangu.


Maana mtini hautachanua maua, Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda; Taabu ya mzeituni itakuwa bure, Na mashamba hayatatoa chakula; Zizini hamtakuwa na kundi, Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng'ombe;


Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.