Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ama kweli hangaiko humuua mpumbavu, na wivu humwangamiza mjinga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ama kweli hangaiko humuua mpumbavu, na wivu humwangamiza mjinga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ama kweli hangaiko humuua mpumbavu, na wivu humwangamiza mjinga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:2
19 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Raheli alipoona ya kuwa hamzalii Yakobo mwana, Raheli alimwonea dada yake wivu. Akamwambia Yakobo, Nipe wana; kama sivyo, nitakufa mimi.


Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, alimwaga mbegu chini asimpe nduguye uzao.


Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?


Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa.


Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.


Niliwaambia waliojivuna, Msijivune; Na wasio haki, Msiiinue pembe.


Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.


Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.


Mtu wa hasira nyingi atachukua adhabu yake, Maana ujapomwokoa huna budi kufanya tena.


Jiwe ni zito, na mchanga hulemea; Lakini ghadhabu ya mpumbavu ni nzito kuliko hivi vyote viwili.


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.


Naye Efraimu amekuwa kama njiwa mpumbavu, asiye na fahamu; humwita Misri, huenda Ashuru.


Mungu akamwambia Yona, Je! Unatenda vema kukasirika kwa ajili ya mtango? Naye akasema, Ndiyo, natenda vema kukasirika hata kufa.


na wale wenye fitina, wasioitii kweli, bali wakubalio dhuluma, watapata hasira na ghadhabu;


Kwa maana katika hao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu, na kuchukua mateka wanawake wajinga wenye mizigo ya dhambi, waliochukuliwa na tamaa za kila namna;