Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 5:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haya, ita sasa; je! Yuko atakayekujibu? Nawe utamwelekea yupi katika hao watakatifu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Ita sasa, uone kama kuna wa kukuitikia. Ni yupi kati ya watakatifu utakayemwita?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Ita sasa, uone kama kuna wa kukuitikia. Ni yupi kati ya watakatifu utakayemwita?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Ita sasa, uone kama kuna wa kukuitikia. Ni yupi kati ya watakatifu utakayemwita?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Itana, ukitaka, lakini ni nani atakayekujibu? Ni yupi kati ya hao watakatifu utakayemgeukia?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu? Ni yupi kati ya hao watakatifu utakayemgeukia?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haya, ita sasa; je! Yuko atakayekujibu? Nawe utamwelekea yupi katika hao watakatifu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 5:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hawategemei watakatifu wake; Naam, mbingu nazo si safi machoni pake.


Nipe rehani basi, uwe dhamana kwa ajili yangu kwako wewe mwenyewe; Kuna nani atakayeniwekea dhamana?


Tazama, yeye hawategemei watumishi wake; Na malaika wake huwahesabia kosa;


Wakamhusudu Musa kambini, Na Haruni, mtakatifu wa BWANA.


Nao watakatifu waliopo duniani, ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.


Ee BWANA, mbingu zitayasifu maajabu yako, Uaminifu wako katika kusanyiko la watakatifu.


Nyamazeni mbele zangu, enyi visiwa, na mataifa wajipatie nguvu mpya; na waje karibu wakanene; na tukaribiane pamoja kwa hukumu.


Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu; kwa watakatifu walioko [Efeso] wanaomwamini Kristo Yesu.


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,