Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 42:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nilikuwa nimesikia habari zako, kwa kusikia kwa masikio; Bali sasa jicho langu linakuona.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli nilikuwa nimesikia habari zako kwa masikio tu, lakini sasa nakuona kwa macho yangu mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli nilikuwa nimesikia habari zako kwa masikio tu, lakini sasa nakuona kwa macho yangu mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli nilikuwa nimesikia habari zako kwa masikio tu, lakini sasa nakuona kwa macho yangu mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Masikio yangu yalikuwa yamesikia habari zako, lakini sasa macho yangu yamekuona.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Masikio yangu yalikuwa yamesikia habari zako, lakini sasa macho yangu yamekuona.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nilikuwa nimesikia habari zako, kwa kusikia kwa masikio; Bali sasa jicho langu linakuona.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 42:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, hivi ni viunga tu vya njia zake; Na jinsi yalivyo madogo manong'ono tusikiayo katika habari zake! Lakini ngurumo za uweza wake ni nani awezaye kuzielewa?


Uharibifu na Mauti husema, Tumesikia habari zake kwa masikio yetu.


Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia mhuri mafundisho yao,


Basi, nililetewa neno kwa siri, Sikio langu likasikia manong'ono yake.


Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu Katika mavumbi na majivu.


Katika mwaka ule aliokufa mfalme Uzia nilimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza hekalu.


Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.


Ee BWANA, nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee BWANA, fufua kazi yako katikati ya miaka; Katikati ya miaka tangaza habari yake; Katika ghadhabu kumbuka rehema.


Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.


Maneno hayo aliyasema Isaya, kwa kuwa aliuona utukufu wake, akataja habari zake.


Naye anitazamaye mimi amtazama yeye aliyenituma.


Basi imani, hutokana na kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.