Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 42:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Ayubu akafa, akiwa mzee sana mwenye kujawa na siku.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yobu akafariki akiwa mzee wa miaka mingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yobu akafariki akiwa mzee wa miaka mingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yobu akafariki akiwa mzee wa miaka mingi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo Ayubu akafa, akiwa mzee aliyeshiba siku.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo Ayubu akafa, akiwa mzee aliyekuwa ameshiba siku.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Ayubu akafa, akiwa mzee sana mwenye kujawa na siku.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 42:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.


Abrahamu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.


Kisha baada ya mambo hayo Ayubu akaishi miaka mia moja na arubaini, naye akawaona wanawe, na wana wa wanawe, hadi kizazi cha nne.


Utafika kaburini mwenye umri mtimilifu, Kama mganda wa ngano ulivyo wakati wake.


Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonesha wokovu wangu.


Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.


upate kumcha BWANA, Mungu wako, kushika amri zake zote, na sheria zake, ninazokuamuru, wewe na mwanao, na mwana wa mwanao, siku zote za maisha yako; tena siku zako ziongezwe.