Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 42:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akamwita huyo wa kwanza jina lake Yemima; na wa pili akamwita jina lake Kesia; na wa tatu akamwita jina lake Keren-hapuhu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Binti yake wa kwanza alimpa jina Yemima, wa pili Kezia, na wa mwisho Keren-hapuki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Binti yake wa kwanza alimpa jina Yemima, wa pili Kezia, na wa mwisho Keren-hapuki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Binti yake wa kwanza alimpa jina Yemima, wa pili Kezia, na wa mwisho Keren-hapuki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Binti wa kwanza aliitwa Yemima, wa pili Kesia, na wa tatu Keren-Hapuki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Binti wa kwanza aliitwa Yemima, wa pili Kesia na wa tatu Keren-Hapuki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwita huyo wa kwanza jina lake Yemima; na wa pili akamwita jina lake Kesia; na wa tatu akamwita jina lake Keren-hapuhu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 42:14
2 Marejeleo ya Msalaba  

Tena alikuwa na watoto wa kiume saba, na binti watatu.


Katika nchi hiyo yote hawakuwapo wanawake waliokuwa wazuri kama hao wana wa Ayubu; na baba yao akawapa urithi pamoja na ndugu zao wa kiume.