Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 42:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena alikuwa na watoto wa kiume saba, na binti watatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alikuwa pia na watoto wa kiume saba na wa kike watatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alikuwa pia na watoto wa kiume saba na wa kike watatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alikuwa pia na watoto wa kiume saba na wa kike watatu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena alikuwa na wana saba na binti watatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena alikuwa na wana saba na binti watatu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena alikuwa na watoto wa kiume saba, na binti watatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 42:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha walizaliwa kwake watoto saba wa kiume, na binti watatu.


Akamwita huyo wa kwanza jina lake Yemima; na wa pili akamwita jina lake Kesia; na wa tatu akamwita jina lake Keren-hapuhu.


Lakini alimwinua mhitaji juu mbali na mateso, Na kuwaongeza jamaa zao kama kundi la kondoo.


Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA, Uzao wa tumbo ni thawabu.


Watoto ulionyang'anywa watasema masikioni mwako, Mahali hapa ni pembamba, hapanitoshi; nipe nafasi nipate kukaa.