Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 42:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo Ayubu akamjibu BWANA, na kusema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Yobu akamjibu Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Yobu akamjibu Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Yobu akamjibu Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Ayubu akamjibu Mwenyezi Mungu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Ayubu akamjibu bwana:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Ayubu akamjibu BWANA, na kusema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 42:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ayubu akajibu, na kusema;


Ndipo Ayubu akamjibu Mungu, na kusema,


Yeye hutazama kila kitu kilicho juu; Ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.


Najua ya kuwa waweza kufanya mambo yote, Na ya kuwa makusudi yako hayawezi kuzuilika.


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.


Rudini, nawasihi, lisiwe neno la udhalimu; Naam, rudini tena, neno langu ni la haki.


Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.