Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 41:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hufanya mapito yake kung'aa nyuma yake Hata mtu angedhani kilindi kina mvi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Neno: Bibilia Takatifu

Anapopita nyuma yake huacha mkondo unaometameta; mtu angedhani vilindi vilikuwa na mvi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Anapopita nyuma yake huacha mkondo unaometameta; mtu angedhani vilindi vilikuwa na mvi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hufanya mapito yake kung'aa nyuma yake Hata mtu angedhani kilindi kina mvi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 41:32
12 Marejeleo ya Msalaba  

tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.


Nayo nchi ilikuwa tupu, tena bila umbo, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.


Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.


Abrahamu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.


Akasema, Mwanangu hatashuka pamoja nanyi, maana nduguye amekufa, naye amesalia peke yake; mabaya yakimpata katika njia mtakayoiendea ndipo mtakaposhusha mvi zangu kwa sikitiko mpaka kaburini.


Vilindi vyasema, Haimo ndani yangu; Na bahari yasema, Haiko kwangu.


Je! Umeziingia chemchemi za bahari, Au umetembea mahali pa siri pa vilindi?


Maji hugandamana kama jiwe, Na uso wa vilindi huganda kwa baridi.


Yeye hufanya kilindi kichemke kama chungu; Hufanya bahari kuwa kama chungu cha mafuta.


Juu ya nchi hapana aliyefanana naye, kiumbe asiye na woga.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Fahari ya vijana ni nguvu zao, Na uzuri wa wazee ni kichwa chenye mvi.