Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 41:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Atakusihi sana? Au, atakuambia maneno ya upole?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nani aliyenipa kitu, ili nitakiwe kumrudishia? Chochote kilicho chini ya mbingu ni changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nani aliyenipa kitu, ili nitakiwe kumrudishia? Chochote kilicho chini ya mbingu ni changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nani aliyenipa kitu, ili nitakiwe kumrudishia? Chochote kilicho chini ya mbingu ni changu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, ataendelea kukuomba umhurumie? Atasema nawe maneno ya upole?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, ataendelea kukuomba umhurumie? Atasema nawe maneno ya upole?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Atakusihi sana? Au, atakuambia maneno ya upole?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 41:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Waweza kutia kamba puani mwake? Au kutoboa taya yake kwa kulabu?


Je! Atafanya agano pamoja nawe, Umtwae kuwa mtumishi wako milele?


Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.


Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kulishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu kuliko makabila yote ya watu; maana dunia yote pia ni mali yangu,


Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.


Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.


Kwa uvumilivu mwingi mkuu husadikishwa; Na ulimi laini huvunja mfupa.


wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;


Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi.