Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 41:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Pumzi zake huwasha makaa, Na miali ya moto hutoka kinywani mwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwake, rungu ni kama kipande cha bua, hucheka likitupiwa fumo kwa wingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwake, rungu ni kama kipande cha bua, hucheka likitupiwa fumo kwa wingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwake, rungu ni kama kipande cha bua, hucheka likitupiwa fumo kwa wingi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pumzi yake huwasha makaa ya mawe, nayo miali ya moto huruka kutoka kinywani mwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pumzi yake huwasha makaa ya mawe, nayo miali ya moto huruka kutoka kinywani mwake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pumzi zake huwasha makaa, Na miali ya moto hutoka kinywani mwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 41:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Moshi hutoka katika mianzi ya pua yake, Kama nyungu ikitokota, na manyasi yawakayo.


Katika shingo yake hukaa nguvu, Na utisho hucheza mbele yake.


Toka mwangaza uliokuwa mbele zake Kukapita mawingu yake makuu. Ikashuka mvua ya mawe na makaa ya moto.


Kukapanda moshi kutoka puani mwake, Moto wa kuteketeza ukatoka kinywani mwake, Makaa ya moto yakamtoka.


Maana Tofethi imewekwa tayari tokea zamani, naam, imewekwa tayari kwa mfalme huyo; ameifanya kubwa, inakwenda chini sana; tanuri yake ni moto na kuni nyingi; pumzi ya BWANA, kama mto wa kiberiti, huiwasha.


Majani yakauka, ua lanyauka; Kwa sababu pumzi ya BWANA yapita juu yake. Hakika watu ni majani.


Mbele zake ilikwenda tauni, Na makaa ya moto yakatoka miguuni pake.