Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 41:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuchemua kwake mwanga humemetuka, Na macho yake yanafanana na koze za alfajiri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hakuna upanga uwezao kulijeruhi, wala mkuki, mshale au fumo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hakuna upanga uwezao kulijeruhi, wala mkuki, mshale au fumo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hakuna upanga uwezao kulijeruhi, wala mkuki, mshale au fumo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akipiga chafya mwanga humetameta; macho yake ni kama miali ya mapambazuko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akipiga chafya mwanga humetameta; macho yake ni kama mionzi ya mapambazuko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuchemua kwake mwanga humemetuka, Na macho yake yanafanana na kope za alfajiri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 41:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nyota za mapambazuko yake na ziwe giza; Na utafute mwanga lakini usiupate; Wala usiyaone mapambazuko;


Yamefungamana pamoja; Yameshikamana, hata hayawezi kutengwa.


Mienge iwakayo hutoka kinywani mwake, Na cheche za moto huruka nje.


Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji; na macho yake kama muali wa moto;