Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 41:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hapana aliye mkali hata akathubutu kumwamsha; Bali ni nani awezaye kusimama mbele yangu mimi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Likipiga chafya, mwanga huchomoza, macho yake humetameta kama jua lichomozapo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Likipiga chafya, mwanga huchomoza, macho yake humetameta kama jua lichomozapo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Likipiga chafya, mwanga huchomoza, macho yake humetameta kama jua lichomozapo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuna yeyote aliye mkali athubutuye kumchokoza. Ni nani basi awezaye kusimama dhidi yangu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuna yeyote aliye mkali athubutuye kumchokoza. Ni nani basi awezaye kusimama dhidi yangu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hapana aliye mkali hata akathubutu kumwamsha; Bali ni nani awezaye kusimama mbele yangu mimi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 41:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yuda ni mwanasimba, Kutoka katika mawindo, mwanangu, umepanda; Aliinama akajilaza kama simba, Na kama simba mke; ni nani atakayemwamsha?


Na waulaani hao waulaanio mchana, Hao walio tayari kumwamsha huyo Lewiathani.


Nyota za mapambazuko yake na ziwe giza; Na utafute mwanga lakini usiupate; Wala usiyaone mapambazuko;


Au je! Wewe una mkono kama Mungu? Waweza kutoa ngurumo kwa sauti kama yeye?


Tazama, kumtamani ni bure; Je! Hatambwaga chini huyo atakayemtazama?


Yeye ni mwenye hekima moyoni, na mwenye uwezo katika nguvu; Ni nani aliyejifanya kuwa mgumu juu yake, naye akafanikiwa?


Ikiwa umepiga mbio pamoja na hao waendao kwa miguu, nao wamekuchosha, basi wawezaje kushindana na farasi? Na ujapokuwa katika nchi ya amani uko salama, lakini utafanyaje hapo katika kiburi cha Yordani?


Angalia, atapanda kama simba toka kiburi cha Yordani juu ya malisho yasiyonyauka; lakini nitamkimbiza ghafla ayaache; na yeye aliye mteule nitamweka juu yake; maana ni nani aliye kama mimi? Tena ni nani atakayeniandikia muda? Tena ni mchungaji yupi atakayesimama mbele zangu?


Angalia, atapanda kama simba toka kiburi cha Yordani juu ya malisho yasiyonyauka; lakini nitamkimbiza ghafla ayaache; na yeye aliye mteule nitamweka juu yake; maana ni nani aliye kama mimi? Tena ni nani atakayeniandikia muda? Tena ni mchungaji yupi atakayesimama mbele zangu?


Aliinama, akalala mfano wa simba, Na kama simba mke; ni nani atakayemstusha? Na abarikiwe kila akubarikiye, Na alaaniwe kila akulaaniye.


Au twamtia Bwana wivu? Je! Tuna nguvu zaidi ya yeye?