Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 40:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye ni wa kwanza kwa hayo matendo makuu ya Mungu; Ni Muumba wake tu awezaye kumkabili kwa upanga wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Hilo ni la kwanza la ajabu kati ya viumbe vyangu! Ni mimi Muumba wake niwezaye kulishinda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Hilo ni la kwanza la ajabu kati ya viumbe vyangu! Ni mimi Muumba wake niwezaye kulishinda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Hilo ni la kwanza la ajabu kati ya viumbe vyangu! Ni mimi Muumba wake niwezaye kulishinda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye ni wa kwanza kwa hayo matendo makuu ya Mungu; Ni Muumba wake tu awezaye kumkabili kwa upanga wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 40:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake; Mkono wake umemchoma nyoka aendaye mbio.


Mwangalie huyo kiboko, niliyemwumba pamoja nawe; Yeye hula nyasi kama ng'ombe,


Mifupa yake ni kama mirija ya shaba; Mbavu zake ni kama vipande vya chuma.


Juu ya nchi hapana aliyefanana naye, kiumbe asiye na woga.


Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


Mtu asipoongoka ataunoa upanga wake; Ameupinda uta wake na kuuweka tayari;


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.