Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 40:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wafiche mavumbini pamoja, Wafunge nyuso zao mahali palipositirika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wazike wote pamoja ardhini; mfunge kila mmoja kwa kifungo cha kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wazike wote pamoja ardhini; mfunge kila mmoja kwa kifungo cha kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wazike wote pamoja ardhini; mfunge kila mmoja kwa kifungo cha kifo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wafiche mavumbini pamoja, Wafunge nyuso zao mahali palipositirika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 40:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mfalme akarudi kutoka katika bustani ya ngome hadi mahali pa karamu ya divai. Ikawa Hamani amejitupa chini penye kitanda alipokuwapo Esta. Mfalme akasema, Namna gani! Je! Atamfanyia malkia jeuri hata machoni pangu nyumbani mwangu? Na neno lilipotoka kinywani mwa mfalme, wakamfunika uso Hamani.


Laiti ungenificha kuzimuni, Ukanilinda kwa siri, hata ghadhabu zako zitakapopita, Na kuniandikia muda ulioamriwa, na kunikumbuka!


Lakini hao wasiomcha Mungu mioyoni hujiwekea hasira Hawalilii msaada hapo awafungapo.


Ndipo mimi nami nitazikiri habari zako, Ya kuwa mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.


Kama kondoo wamewekwa kwenda kuzimu, Na kifo kitakuwa mchungaji wao; Watu wanyofu watawamiliki asubuhi; Miili yao itaoza, kao lao ni kuzimu.


Ingia ndani ya jabali; ukajifiche mavumbini mbele za utisho wa BWANA, mbele za utukufu wa enzi yake.


Akatoka nje yule aliyekufa, akiwa amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;