Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama mimi nilivyoona, hao walimao maovu, Na kupanda madhara, huvuna yayo hayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nijuavyo mimi, wapandao uovu na ubaya huvuna hayohayo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nijuavyo mimi, wapandao uovu na ubaya huvuna hayohayo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nijuavyo mimi, wapandao uovu na ubaya huvuna hayohayo,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa jinsi mimi nimechunguza, wale walimao ubaya na wale hupanda uovu, huvuna hayo hayo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa jinsi ambavyo mimi nimechunguza, wale walimao ubaya na wale hupanda uovu, huvuna hayo hayo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama mimi nilivyoona, hao walimao maovu, Na kupanda madhara, huvuna yayo hayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Asiutumainie ubatili, na kujidanganya; Kwa kuwa huo ubatili ndio utakaokuwa ujira wake.


Wao hutunga mimba ya madhara, na kuzaa uovu, Na mioyo yao hutunga udanganyifu.


Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Katika siku ile ulipopanda, ulifanya kitalu, na wakati wa asubuhi ulizimeesha mbegu zako, lakini mavuno yatatoweka siku ya huzuni, na ya sikitiko la moyo lifishalo.


Njia yako na matendo yako yamekupatia haya; huu ndio uovu wako; kwa maana ni uchungu, hakika unafikia hata moyo wako.


Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.


Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.