Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Dini yako siyo tegemeo lako? Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, kumcha Mungu si ndilo tegemeo lako? Na unyofu wako si ndilo tumaini lako?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, kumcha Mungu si ndilo tegemeo lako? Na unyofu wako si ndilo tumaini lako?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, kumcha Mungu si ndilo tegemeo lako? Na unyofu wako si ndilo tumaini lako?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, kumcha Mungu kwako hakupaswi kuwa ndiyo matumaini yako na njia zako kutokuwa na lawama ndilo taraja lako?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, kumcha Mungu kwako hakupaswi kuwa ndiyo matumaini yako na njia zako kutokuwa na lawama ndilo taraja lako?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Dini yako siyo tegemeo lako? Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:6
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nakusihi, BWANA, ukumbuke sasa, jinsi nilivyokwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana.


Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu.


Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Ijapokuwa hakuna udhalimu mikononi mwangu, Na kuomba kwangu ni safi.


Basi, tumaini langu liko wapi? Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?


Ee BWANA, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini BWANA bila wasiwasi.


Jeshi lijapojipanga kupigana nami, Moyo wangu hautaogopa. Vita vijaponitokea, Hata hapo nitatumainia BWANA.


Kumcha BWANA ni tumaini imara; Watoto wake watakuwa na kimbilio.


Kwa kuwa BWANA atakuwa tumaini lako, Naye atakulinda mguu wako usinaswe.


Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.


Kwa hiyo iweni tayari, na makini; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.


Na ikiwa mnamwita Baba, yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, nendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni.