Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini sasa haya yamekufikia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini sasa yamekupata, nawe ukakosa subira, yamekugusa, nawe ukafadhaika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini sasa yamekupata, nawe ukakosa subira, yamekugusa, nawe ukafadhaika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini sasa yamekupata, nawe ukakosa subira, yamekugusa, nawe ukafadhaika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini sasa hii taabu imekujia wewe, nawe unashuka moyo; imekupiga wewe, nawe unafadhaika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini sasa hii taabu imekujia wewe, nawe unashuka moyo; imekupiga wewe, nawe unafadhaika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini sasa haya yamekufikia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nyosha mkono wako sasa, uyaguse hayo yote aliyo nayo, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Nihurumieni, nihurumieni, enyi rafiki zangu, Kwa maana mkono wa Mungu umenigusa.


Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka, Nawe umeyaimarisha magoti manyonge.


Kwake huyo atakaye kuzima roho inapasa atendewe mema na rafiki; Hata kwake huyo aachaye kumcha Mwenyezi.


Ee BWANA, nilikulilia Wewe, Naam, kwa BWANA niliomba dua.


Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.


Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;


Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili upinzani mkuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.


tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana, Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana, Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;