Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tazama, yeye hawategemei watumishi wake; Na malaika wake huwahesabia kosa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata watumishi wake, Mungu hana imani nao; na malaika wake huwaona wana kosa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata watumishi wake, Mungu hana imani nao; na malaika wake huwaona wana kosa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata watumishi wake, Mungu hana imani nao; na malaika wake huwaona wana kosa;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikiwa Mungu hawaamini watumishi wake, ikiwa yeye huwalaumu malaika wake kwa kukosea,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama Mungu hawaamini watumishi wake, kama yeye huwalaumu malaika zake kwa kukosea,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazama, yeye hawategemei watumishi wake; Na malaika wake huwahesabia kosa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mtu awaye yote atamfundisha Mungu maarifa? Naye ndiye awahukumuye walioko juu.


Basi mtu awezaje kuwa na haki mbele ya Mungu? Au awezaje kuwa safi aliyezaliwa na mwanamke?


Huwafanya malaika zake kuwa pepo, Na watumishi wake kuwa moto wa miali.


Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu;


Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.