Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hofu iliniangukia na kutetemeka, Iliyoitetemesha mifupa yangu yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

nilishikwa na hofu na kutetemeka, mifupa yangu yote ikagonganagongana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

nilishikwa na hofu na kutetemeka, mifupa yangu yote ikagonganagongana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

nilishikwa na hofu na kutetemeka, mifupa yangu yote ikagonganagongana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

hofu na kutetemeka kulinishika na kufanya mifupa yangu yote itetemeke.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

hofu na kutetemeka kulinishika na kufanya mifupa yangu yote itetemeke.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hofu iliniangukia na kutetemeka, Iliyoitetemesha mifupa yangu yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, Na kwa mashindano yaendeleayo daima mifupani mwake;


Katika mawazo yaliyotoka katika maono ya usiku, Hapo usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu.


Ndipo pepo ilipita mbele ya uso wangu; Na nywele za mwili wangu zilisimama.


Ndipo unitishapo kwa ndoto, Na kunitia hofu kwa maono;


Mwili wangu unatetemeka kwa kukucha Wewe, Nami ninaziogopa hukumu zako.


Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.


Akaniambia, Ee Danieli, mtu upendwaye sana, yafahamu maneno nikuambiayo, ukasimame wima; maana nimetumwa kwako sasa. Na aliponiambia neno hili, nilisimama nikitetemeka.


Nikasikia, na tumbo langu likatetemeka, Midomo yangu ikatikisika kwa sauti ile; Ubovu ukaingia mifupani mwangu, Nikatetemeka katika mahali pangu; Ili nipate kuingoja ile siku ya dhiki, Kundi lao washambuliao wakweapo juu ya watu.


Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.


Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,