Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, nililetewa neno kwa siri, Sikio langu likasikia manong'ono yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Siku moja, niliambiwa neno kwa siri, sikio langu lilisikia mnongono wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Siku moja, niliambiwa neno kwa siri, sikio langu lilisikia mnongono wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Siku moja, niliambiwa neno kwa siri, sikio langu lilisikia mnong'ono wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Neno lililetwa kwangu kwa siri, masikio yangu yakasikia mnong’ono wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Neno lililetwa kwangu kwa siri, masikio yangu yakasikia mnong’ono wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, nililetewa neno kwa siri, Sikio langu likasikia manong'ono yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, jicho langu limeyaona hayo yote, Sikio langu limeyasikia na kuyaelewa.


Tazama, hivi ni viunga tu vya njia zake; Na jinsi yalivyo madogo manong'ono tusikiayo katika habari zake! Lakini ngurumo za uweza wake ni nani awezaye kuzielewa?


Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiapo watu, Katika usingizi kitandani;


Mara moja amenena Mungu; Mara mbili nimeyasikia haya, Ya kuwa nguvu zina Mungu,


Maana sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.