Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Simba mzee huangamia kwa kukosa mawindo, Nao watoto wa simba jike wametawanyika mbalimbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Simba mwenye nguvu hufa kwa kukosa mawindo, na watoto wa simba jike hutawanywa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Simba mwenye nguvu hufa kwa kukosa mawindo, na watoto wa simba jike hutawanywa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Simba mwenye nguvu hufa kwa kukosa mawindo, na watoto wa simba jike hutawanywa!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Simba anaweza kuangamia kwa kukosa mawindo, nao wana wa simba jike hutawanyika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Simba anaweza kuangamia kwa kukosa mawindo, nao wana wa simba jike hutawanyika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Simba mzee huangamia kwa kukosa mawindo, Nao watoto wa simba jike wametawanyika mbalimbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:11
17 Marejeleo ya Msalaba  

Yuda ni mwanasimba, Kutoka katika mawindo, mwanangu, umepanda; Aliinama akajilaza kama simba, Na kama simba mke; ni nani atakayemwamsha?


mara, tazama, upepo wenye nguvu ukatoka pande za jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, nayo ikawaangukia hao vijana, nao wamekufa; na mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Watoto wake watataka fadhili kwa maskini, Na mikono yake itarudisha mali yake.


Nami nilizivunja taya za wasio haki, Na kumpokonya mawindo katika meno yake.


Je! Utamwindia simba mke mawindo? Au utashibisha njaa ya simba wachanga,


Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari.


Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa; Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.


Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha BWANA.


Asije akaipapura nafsi yangu kama simba, Akaniburura hadi pasipokuwa na wa kuniponya.


Simba ametoka katika kichaka chake, ndiye aangamizaye mataifa; ameanza kushika njia, ametoka katika mahali pake; ili aifanye nchi yako kuwa ukiwa, miji yako ifanywe maganjo, asibaki mwenyeji ndani yake.


Watakwenda kumfuata BWANA, atakayenguruma kama simba; kwa maana atanguruma, nao watoto watakuja kutoka magharibi wakitetemeka.


Tazama, watu hawa wanaondoka kama simba jike, Na kama simba anajiinua nafsi yake, Hatalala hadi atakapokula mawindo, Na kunywa damu yao waliouawa.


Aliinama, akalala mfano wa simba, Na kama simba mke; ni nani atakayemstusha? Na abarikiwe kila akubarikiye, Na alaaniwe kila akulaaniye.


Lakini Bwana alisimama pamoja nami akanitia nguvu, ili kwa kazi yangu ule ujumbe utangazwe kwa utimilifu, hata wasikie Mataifa yote; nami nikaokolewa kutoka kwa kinywa cha simba.