Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kunguruma kwake simba, na sauti ya simba mkali, Na meno ya simba wachanga, yamevunjika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waovu hunguruma kama simba mkali, lakini meno yao huvunjwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waovu hunguruma kama simba mkali, lakini meno yao huvunjwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waovu hunguruma kama simba mkali, lakini meno yao huvunjwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Simba anaweza kunguruma na kukoroma, lakini bado meno ya simba mkubwa huvunjika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Simba anaweza kunguruma na kukoroma, lakini bado meno ya simba mkubwa huvunjika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kunguruma kwake simba, na sauti ya simba mkali, Na meno ya simba wachanga, yamevunjika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nilizivunja taya za wasio haki, Na kumpokonya mawindo katika meno yake.


Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali.


Ee Mungu, uyavunje meno yao vinywani mwao; Ee BWANA, uyavunje magego ya wanasimba.


Na watoweke kama maji yapitayo kwa kasi; Akiielekeza mishale yake, iwe imetiwa ubutu.


Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga; Na vigego vyao ni kama visu. Ili kuwala maskini waondolewe katika nchi, Na wahitaji katika wanadamu.