Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 39:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye hudharau mshindo wa mji, Wala hasikii kelele zake msimamizi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hujitenga kabisa na makelele ya miji, hasikilizi kelele ya kumfanyisha kazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hujitenga kabisa na makelele ya miji, hasikilizi kelele ya kumfanyisha kazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hujitenga kabisa na makelele ya miji, hasikilizi kelele ya kumfanyisha kazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huzicheka ghasia za mji, wala hasikii kelele za mwendesha gari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huzicheka ghasia za mji, wala hasikii kelele za mwendesha gari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye hudharau mshindo wa mji, Wala hasikii kelele zake msimamizi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 39:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Huko wafungwa wanastarehe pamoja; Hawaisikii sauti yake msimamizi.


Je! Waweza kumfunga nyati kwa kamba matutani? Au, yeye atayalima mabonde nyuma yako?


Wakati anapojiinua juu aende, Humdharau farasi na mwenye kumpanda.


Ambaye nimeifanya nyika kuwa nyumba yake, Na nchi ya chumvi kuwa makao yake.


Upana wa milima ni malisho yake, Hutafutatafuta kila kitu kilicho kibichi.


Basi, nendeni sasa, mkafanye kazi; kwa maana hamtapewa majani, na pamoja na hayo mtaleta hesabu ile ile ya matofali.


Maana BWANA aniambia hivi, Kama vile ilivyo simba angurumapo na mwanasimba juu ya mawindo yake, wachungaji wengi wakiitwa ili kumpiga, lakini hatiwi hofu na sauti zao, wala kufanya woga kwa sababu ya mshindo wao; ndivyo BWANA wa majeshi atakavyoshuka ili kufanya vita juu ya mlima Sayuni, na juu ya kilima chake.


Husema, Mbona tumefunga, lakini huoni? Mbona tumejitaabisha nafsi zetu, lakini huangalii? Fahamuni, siku ya kufunga kwenu mnatafuta anasa zenu wenyewe, na kuwalemea wote watendao kazi kwenu.