Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 39:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hukaa jabalini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tai hufanya makazi yake juu ya miamba mirefu, na ncha kali za majabali ndizo ngome zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tai hufanya makazi yake juu ya miamba mirefu, na ncha kali za majabali ndizo ngome zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tai hufanya makazi yake juu ya miamba mirefu, na ncha kali za majabali ndizo ngome zake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hukaa jabalini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 39:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Tai hupaa juu kwa amri yako, Na kufanya kiota chake mahali pa juu?


Toka huko yeye huchungulia mawindo; Macho yake huyaangalia toka mbali.


Na katikati ya mapito, ambayo Yonathani alitaka kuipitia ili kuifikia hiyo ngome ya Wafilisti, palikuwa na kilima cha mwamba upande huu, na kilima cha mwamba upande huu; kimoja kiliitwa Bosesi, na cha pili Sene.