Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 39:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Tai hupaa juu kwa amri yako, Na kufanya kiota chake mahali pa juu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, tai hupaa juu kwa amri yako, na kuweka kiota chake juu milimani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, tai hupaa juu kwa amri yako, na kuweka kiota chake juu milimani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, tai hupaa juu kwa amri yako, na kuweka kiota chake juu milimani?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, tai hupaa juu kwa amri yako na kujenga kiota chake mahali pa juu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, tai hupaa juu kwa amri yako na kujenga kiota chake mahali pa juu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Tai hupaa juu kwa amri yako, Na kufanya kiota chake mahali pa juu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 39:27
11 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mwewe huruka juu kwa akili zako, Na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini?


Hukaa jabalini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni.


Aushibisha mema uzee wako, Ujana wako ukarejezwa kama tai;


Mmeona jinsi nilivyowatendea Wamisri, na jinsi nilivyowachukua ninyi juu ya mbawa za tai, nikawaleta ninyi kwangu mimi.


Je! Utavikazia macho vile ambavyo si kitu? Maana bila shaka mali hujifanyia mabawa, Kama tai arukaye mbinguni.


Mwendo wa tai katika hewa; Na mwendo wa nyoka juu ya mwamba; Mwendo wa merikebu katikati ya bahari; Na mwendo wa mtu pamoja na msichana.


bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.


Kuhusu kuogofya kwako, Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, Wewe ukaaye katika pango za majabali, Ushikaye kilele cha milima; Ujapofanya kiota chako juu sana kama tai, Nitakushusha kutoka huko; asema BWANA.


Tia baragumu kinywani mwako. Kama tai, anakuja juu ya nyumba ya BWANA; kwa sababu wamelivunja agano langu, wameiasi sheria yangu.


Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu;


Ujapopanda juu kama tai, Ijapokuwa kiota chako kimewekwa kati ya nyota, Nitakushusha kutoka huko; asema BWANA.