Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 39:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Mwewe huruka juu kwa akili zako, Na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Mwewe huruka juu kwa akili zako, Na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 39:26
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kila ipigwapo baragumu yeye husema, Aha! Naye husikia harufu ya vita toka mbali, Mshindo wa makamanda, na makelele.


Je! Tai hupaa juu kwa amri yako, Na kufanya kiota chake mahali pa juu?


Maua yatokea katika nchi, Wakati wa kuimba umefika, Na sauti ya mwigo husikiwa kwetu.


Naam, koikoi angani ajua nyakati zake zilizoamriwa; na hua na mbayuwayu na korongo huangalia wakati wa kuja kwao; bali watu wangu hawazijui amri za BWANA.


Na Haruni atamsongeza ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake, na kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake; naye atamchinja yule ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake.


na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;