Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 39:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakati anapojiinua juu aende, Humdharau farasi na mwenye kumpanda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini akianza kukimbia, humcheka hata farasi na mpandafarasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini akianza kukimbia, humcheka hata farasi na mpandafarasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini akianza kukimbia, humcheka hata farasi na mpandafarasi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini akunjuapo mabawa yake kukimbia, humcheka farasi pamoja na yeye aliyempanda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini akunjuapo mabawa yake kukimbia, humcheka farasi pamoja na yeye aliyempanda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati anapojiinua juu aende, Humdharau farasi na mwenye kumpanda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 39:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tamko alilolitamka BWANA katika habari zake ndilo hili, Bikira, binti Sayuni, amekudharau, na kukudhihaki sana; binti Yerusalemu ametikisa kichwa chake juu yako.


Kwa sababu Mungu amemnyima akili, Wala hakumpa fahamu.


Je! Wewe ulimpa farasi uwezo wake? Au, ni wewe uliyemvika shingo yake manyoya yatetemayo?


Yeye hufanyia kicho dhihaka, wala hashangai; Wala hageuki kurudi nyuma mbele ya upanga.


Yeye hudharau mshindo wa mji, Wala hasikii kelele zake msimamizi.


Marungu huhesabiwa kama mabua; Naye hucheka mshindo wa mkuki ukitupwa.


Wewe utayacheka maangamizo na njaa; Wala hutawaogopa wanyama wakali wa nchi.