Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 39:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Utamtumaini kwamba ataileta mbegu yako nyumbani. Na kukusanya nafaka ya kiwanja chako cha kupuria?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, wamtazamia nyati akuvunie mavuno yako, na kuleta nafaka mahali pa kupuria?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, wamtazamia nyati akuvunie mavuno yako, na kuleta nafaka mahali pa kupuria?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, wamtazamia nyati akuvunie mavuno yako, na kuleta nafaka mahali pa kupuria?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Utamtumaini kwamba ataileta mbegu yako nyumbani. Na kukusanya nafaka ya kiwanja chako cha kupuria?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 39:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Siku hizo niliona katika Yuda watu wengine waliosindika zabibu ili kupata mvinyo siku ya sabato, na wengine waliochukua miganda, na kuwapakia punda zao; tena na mvinyo, na zabibu, na tini, na namna zote za mizigo, waliyoileta Yerusalemu, siku ya sabato; nami nikashuhudia juu yao siku ile waliyouza vyakula.


Je! Utamtumaini kwa sababu ana nguvu nyingi? Au, utamwachia yeye kazi yako?


Bawa la mbuni hufurahi; Lakini mabawa yake na manyoya yake, je! Yana huruma?


Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.


Tazameni, nitawalemea ninyi, Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda.


Je, Mbegu ingali ghalani? Naam, huo mzabibu, wala mtini, wala mkomamanga, wala mzeituni, haikuzaa kitu; tangu siku hii ya leo nitawabariki.


Viacheni vyote vikue hadi wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu.


Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.