Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 38:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, ili wingi wa maji ukufunikize?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Je, waweza kupaza sauti na kuyaamuru mawingu yakufunike kwa mtiririko wa mvua?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Je, waweza kupaza sauti na kuyaamuru mawingu yakufunike kwa mtiririko wa mvua?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Je, waweza kupaza sauti na kuyaamuru mawingu yakufunike kwa mtiririko wa mvua?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Unaweza kuipaza sauti yako hadi mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, ili wingi wa maji ukufunikize?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 38:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Au je! Huoni giza, Na maji mengi yanayokufunika?


Ni nani awezaye kuyahesabu mawingu kwa hekima? Au ni nani awezaye kuzimimina chupa za mbinguni?


mtafuteni yeye afanyaye Kilimia na Orioni, na kukigeuza kivuli cha mauti kuwa asubuhi, na kuufanya mchana kuwa giza usiku; yeye ayaitaye maji ya bahari, na kuyamwaga juu ya uso wa nchi; BWANA, ndilo jina lake;


Mwombeni BWANA mvua wakati wa masika, naam, BWANA aletaye mawingu ya mvua, naye atawapa manyunyu ya mvua, kila mtu atapewa nyasi shambani.


Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake.


Basi Samweli akamwomba BWANA, naye BWANA akatuma ngurumo na mvua siku ile; nao watu wote wakamwogopa BWANA sana, na Samweli pia.